Hiki ni kikosi cha Mseto FC ya Morogoro mwaka 1990, wakati
huo inashiriki Ligi Daraja la Pili, ambayo sasa ni Daraja la Kwanza. Mseto imewahi
kuwa bingwa wa Tanzania mwaka 1975. Sasa hivi timu hii haipo kabisa katika
ramani ya soka nchini. Timu nyingine maarufu mkoani Morogoro kama Tumbaku na
Reli, ambazo pia ziliibua vipaji vya nyota wengine wengi nchini enzi hizo, nazo
pia zimepotea katika ramani ya soka. Kweli majanga!
Mata impressed by Garnacho and Mainoo
-
Ex-United midfielder Juan has enjoyed watching the aforementioned Academy
graduates making their mark in the first team.
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...